MBINU BORA ZA UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA

MBINU BORA ZA UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA

Ufugaji wa kuku kibiashara ni  mgodi wa dhahabu unaokua kwa kasi duniani na Afrika kwa sasa. Ufugaji wa kuku ni chanzo kikubwa cha ajira katika sehemu nyingi za dunia kwa mfano TANZANIA. Kuna Zaidi ya ndege million 100 katika mashamba tofauti TANZANIA, lakini hii...